Mhubiri 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji. Maombolezo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sayuni amenyoosha mikono yake.+ Hana mfariji.+Yehova ametoa amri kuhusu Yakobo kwa adui zake wote wanaomzunguka.+Yerusalemu limekuwa chukizo kati yao.+
4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.
17 Sayuni amenyoosha mikono yake.+ Hana mfariji.+Yehova ametoa amri kuhusu Yakobo kwa adui zake wote wanaomzunguka.+Yerusalemu limekuwa chukizo kati yao.+