Mambo ya Walawi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ nanyi msifanye lolote la mambo hayo yenye kuchukiza, iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.+ Zaburi 105:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ili wapate kushika masharti yake+Na kushika sheria zake.+Msifuni Yah!+ Zaburi 119:80 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Moyo wangu uwe hauna kosa katika masharti yako,+Ili nisione aibu.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
26 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ nanyi msifanye lolote la mambo hayo yenye kuchukiza, iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.