68 Na hakika Yehova atakurudisha Misri kwa meli katika njia ambayo nilikuambia hivi kuihusu, ‘Hutaiona tena kamwe,’+ nanyi mtalazimika kujiuza huko kwa adui zenu kuwa watumwa na vijakazi,+ lakini hakutakuwa na mtu wa kuwanunua.”
13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+