Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+

  • Yeremia 44:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitachukua mabaki wa Yuda ambao walikaza nyuso zao ili kuingia katika nchi ya Misri wakae humo wakiwa wageni,+ na hakika wote watamalizika katika nchi ya Misri.+ Wataanguka kwa upanga; nao watamalizika kwa njaa,+ kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi; watakufa kwa upanga na kwa njaa. Nao watakuwa laana, kitu cha kushangaza na tukano na shutuma.+

  • Hosea 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova,+ naye Efraimu atarudi Misri,+ nao watakula vitu vilivyo najisi katika Ashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki