Zaburi 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale ambao wamesema: “Kwa ulimi wetu tutashinda.+Midomo yetu iko pamoja nasi. Ni nani atakayekuwa bwana kwetu?” Zaburi 73:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wameweka kinywa chao mbinguni,+Nao ulimi wao hutembea huku na huku duniani.+ Isaya 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Yerusalemu limejikwaa na Yuda imeanguka,+ kwa sababu ulimi wao na matendo yao yanapingana na Yehova,+ katika kujiendesha kwa uasi machoni pa utukufu wake.+
4 Wale ambao wamesema: “Kwa ulimi wetu tutashinda.+Midomo yetu iko pamoja nasi. Ni nani atakayekuwa bwana kwetu?”
8 Kwa maana Yerusalemu limejikwaa na Yuda imeanguka,+ kwa sababu ulimi wao na matendo yao yanapingana na Yehova,+ katika kujiendesha kwa uasi machoni pa utukufu wake.+