Hosea 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi. Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+ Hosea Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:16 w07 9/15 16; w05 11/15 23 Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:16 Ufahamu, Mnara wa Mlinzi,9/15/2007, uku. 1611/15/2005, uku. 23
16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi. Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+