-
Ezekieli 36:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Basi nikawatawanya miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali.+ Niliwahukumu kulingana na njia yao na kulingana na matendo yao. 20 Lakini walipoingia katika mataifa hayo, watu walilichafua jina langu takatifu+ kwa kusema hivi kuwahusu: ‘Hawa ndio watu wa Yehova, lakini walilazimika kutoka katika nchi yake.’
-