Ezekieli 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nikawatawanya katikati ya mataifa, hivi kwamba wakasambaa katika nchi mbalimbali.+ Niliwahukumu kulingana na njia yao na kulingana na matendo yao.+
19 Nami nikawatawanya katikati ya mataifa, hivi kwamba wakasambaa katika nchi mbalimbali.+ Niliwahukumu kulingana na njia yao na kulingana na matendo yao.+