Mambo ya Walawi 26:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Nanyi mtaangamia katikati ya mataifa,+ nayo nchi ya adui zenu itawala ninyi. Kumbukumbu la Torati 28:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+ Ezekieli 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitakutawanya wewe kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi+ hizo, nami nitauharibu uchafu wako kutoka ndani yako.+
64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+
15 Nami nitakutawanya wewe kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi+ hizo, nami nitauharibu uchafu wako kutoka ndani yako.+