Isaya 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitayeyusha takataka yako kana kwamba kwa sabuni, nitaondoa uchafu wako wote.+ Ezekieli 23:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami hakika nitaufanya mwenendo wako mpotovu ukome kutoka kwako,+ na ukahaba wako kutoka nchi ya Misri;+ nawe hutainua macho yako kuwaelekea, nawe hutakumbuka Misri tena.’ Malaki 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.
25 Nami nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitayeyusha takataka yako kana kwamba kwa sabuni, nitaondoa uchafu wako wote.+
27 Nami hakika nitaufanya mwenendo wako mpotovu ukome kutoka kwako,+ na ukahaba wako kutoka nchi ya Misri;+ nawe hutainua macho yako kuwaelekea, nawe hutakumbuka Misri tena.’
3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.