3 Nao wakaanza kufanya ukahaba katika Misri.+ Wakati wa ujana wao walifanya ukahaba.+ Huko maziwa yao yalifinywa-finywa,+ na huko walivibana vifua vya ubikira wao.
19 naye akaendelea kuzidisha matendo yake ya ukahaba+ kufikia hatua ya kurudisha kumbukumbu ya siku za ujana wake,+ wakati ambapo alifanya ukahaba katika nchi ya Misri.+