25 Katika kila kichwa cha njia ulikijenga kilele+ chako nawe ukaanza kuufanya urembo wako kuwa chukizo+ na kumpanulia miguu yako kila mpita-njia+ na kuzidisha matendo yako ya ukahaba.+
4 “ ‘Enyi watu, njooni Betheli, mfanye makosa.+ Fanyeni makosa mara nyingi katika Gilgali,+ na mlete dhabihu zenu asubuhi; na sehemu zenu za kumi katika siku ya tatu.+