Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi kwa njia hii kosa la Yakobo litafanyiwa upatanisho,+ na haya ni matunda yote wakati anapoiondoa dhambi yake,+ wakati anapofanya mawe yote ya madhabahu kama mawe ya chokaa ambayo yamepondwa, hivi kwamba miti mitakatifu+ na vinara vya uvumba havitasimama.+

  • Ezekieli 16:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Nao wataziteketeza nyumba zako kwa moto+ na kufanya ndani yako matendo ya hukumu mbele ya macho ya wanawake wengi;+ nami nitakufanya uache kuwa kahaba,+ na pia hutatoa malipo yoyote tena.

  • Ezekieli 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami nitakutawanya wewe kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi+ hizo, nami nitauharibu uchafu wako kutoka ndani yako.+

  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki