4 Yehova atakapokuwa ameosha kinyesi cha binti za Sayuni+ naye atausafisha+ umwagaji wa damu+ wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,+
13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+