Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehova atakapokuwa ameosha kinyesi cha binti za Sayuni+ naye atausafisha+ umwagaji wa damu+ wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,+

  • Isaya 48:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+

  • Ezekieli 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki