Isaya 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitayeyusha takataka yako kana kwamba kwa sabuni, nitaondoa uchafu wako wote.+ Yeremia 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, ninawayeyusha, nami lazima niwachunguze,+ kwa sababu nitatendaje vinginevyo kwa ajili ya binti ya watu wangu?+
25 Nami nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitayeyusha takataka yako kana kwamba kwa sabuni, nitaondoa uchafu wako wote.+
7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, ninawayeyusha, nami lazima niwachunguze,+ kwa sababu nitatendaje vinginevyo kwa ajili ya binti ya watu wangu?+