Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 66:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+

      Umetusafisha kama kusafisha fedha.+

  • Isaya 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitayeyusha takataka yako kana kwamba kwa sabuni, nitaondoa uchafu wako wote.+

  • Isaya 48:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+

  • Malaki 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki