7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, ninawayeyusha, nami lazima niwachunguze,+ kwa sababu nitatendaje vinginevyo kwa ajili ya binti ya watu wangu?+
3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.