Kumbukumbu la Torati 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali. Kumbukumbu la Torati 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+ Ezekieli 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapowatawanya katikati ya mataifa nami kwa kweli niwatawanye katikati ya nchi hizo.+
27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali.
25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+
15 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapowatawanya katikati ya mataifa nami kwa kweli niwatawanye katikati ya nchi hizo.+