Zaburi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela. Ezekieli 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yao+ na kuifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa, kuwa ukiwa mbaya zaidi kuliko nyika inayoelekea Dibla, katika makao yao yote. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”
16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela.
14 Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yao+ na kuifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa, kuwa ukiwa mbaya zaidi kuliko nyika inayoelekea Dibla, katika makao yao yote. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”