Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. 2 Wafalme 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+ Yeremia 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+
8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+