Isaya 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye hatazitazama madhabahu,+ kazi ya mikono yake;+ naye hatatazama kile ambacho vidole vyake vimetengeneza, kwenye miti mitakatifu wala kwenye vinara vya uvumba.+ Mika 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nitakatilia mbali sanamu zako za kuchongwa na nguzo zako kutoka katikati yako, nawe hutainamia tena kazi ya mikono yako.+
8 Naye hatazitazama madhabahu,+ kazi ya mikono yake;+ naye hatatazama kile ambacho vidole vyake vimetengeneza, kwenye miti mitakatifu wala kwenye vinara vya uvumba.+
13 Nami nitakatilia mbali sanamu zako za kuchongwa na nguzo zako kutoka katikati yako, nawe hutainamia tena kazi ya mikono yako.+