Isaya 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na nchi yao imejaa miungu isiyo na thamani.+ Wao huinamia kazi ya mikono ya mtu, kile ambacho vidole vya mtu vimetengeneza.+ Hosea 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana katika Israeli kimetokea hata kitu hiki.+ Fundi tu ndiye aliyekifanya,+ wala si Mungu; kwa maana ndama wa Samaria atavunjika vipande-vipande.+ Mika 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nitakatilia mbali sanamu zako za kuchongwa na nguzo zako kutoka katikati yako, nawe hutainamia tena kazi ya mikono yako.+
8 Na nchi yao imejaa miungu isiyo na thamani.+ Wao huinamia kazi ya mikono ya mtu, kile ambacho vidole vya mtu vimetengeneza.+
6 Kwa maana katika Israeli kimetokea hata kitu hiki.+ Fundi tu ndiye aliyekifanya,+ wala si Mungu; kwa maana ndama wa Samaria atavunjika vipande-vipande.+
13 Nami nitakatilia mbali sanamu zako za kuchongwa na nguzo zako kutoka katikati yako, nawe hutainamia tena kazi ya mikono yako.+