Ezekieli 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa mwisho uko juu yako,+ nami nitaipeleka hasira yangu juu yako, nami nitakuhukumu kulingana na njia zako+ na kuleta juu yako machukizo yako yote. Ezekieli 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+ Ezekieli 39:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Niliwatendea kulingana na uchafu wao na kulingana na ukosaji wao,+ nami nikaendelea kuwaficha uso wangu.’
3 Sasa mwisho uko juu yako,+ nami nitaipeleka hasira yangu juu yako, nami nitakuhukumu kulingana na njia zako+ na kuleta juu yako machukizo yako yote.
30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+
24 Niliwatendea kulingana na uchafu wao na kulingana na ukosaji wao,+ nami nikaendelea kuwaficha uso wangu.’