3 ili Yehova autimize na kufanya jinsi ambavyo amesema, kwa sababu ninyi mumemtendea Yehova dhambi wala hamkuitii sauti yake. Na jambo hili limewapata ninyi.+
30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+