Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini ikiwa hamtafanya hivyo, mtakuwa mmemtendea Yehova dhambi.+ Na kwa hiyo jueni kwamba dhambi yenu itawafikia ninyi.+

  • Yeremia 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ili Yehova autimize na kufanya jinsi ambavyo amesema, kwa sababu ninyi mumemtendea Yehova dhambi wala hamkuitii sauti yake. Na jambo hili limewapata ninyi.+

  • Ezekieli 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+

  • Ezekieli 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Nanyi mmesema, ‘Njia ya Yehova si sawa.’+ Nitawahukumu ninyi kila mmoja wenu kulingana na njia zake,+ Ee nyumba ya Israeli.”

  • Waroma 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki