25 “ ‘Nanyi hakika mtasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Sikia, tafadhali, Ee nyumba ya Israeli. Je, njia yangu mwenyewe si sawa?+ Je, njia zenu ninyi sizo ambazo si sawa?+
29 “ ‘Nayo nyumba ya Israeli hakika itasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Nazo njia zangu, je, si sawa, Ee nyumba ya Israeli?+ Je, njia zenu sizo ambazo si sawa?’+