Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+

  • Isaya 55:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kwa maana mawazo yenu si mawazo yangu,+ wala njia zangu si njia zenu,”+ asema Yehova.

  • Isaya 55:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+

  • Ezekieli 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “ ‘Nanyi hakika mtasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Sikia, tafadhali, Ee nyumba ya Israeli. Je, njia yangu mwenyewe si sawa?+ Je, njia zenu ninyi sizo ambazo si sawa?+

  • Ezekieli 18:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “ ‘Nayo nyumba ya Israeli hakika itasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Nazo njia zangu, je, si sawa, Ee nyumba ya Israeli?+ Je, njia zenu sizo ambazo si sawa?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki