25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+
14 Alishauriana na nani ndipo mtu amfanye aelewe, au ni nani anayemfundisha katika njia ya haki, au kumfundisha ujuzi,+ au kumjulisha njia ya ufahamu wa kweli?+