17 “Ninyi mmemchosha Yehova kwa maneno yenu,+ nanyi mmesema, ‘Tumemchosha kwa njia gani?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayefanya mabaya ni mwema machoni pa Yehova, naye amependezwa na watu wa aina hiyo’;+ au, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’ ”+
20 Basi, Ee mwanadamu,+ kwa kweli wewe ni nani ndipo uthubutu kumjibu Mungu?+ Je, kitu kilichofinyangwa kitamwambia yeye aliyekifinyanga, “Kwa nini ulinifanya mimi hivi?”+