Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana Ayubu amesema, ‘Hakika mimi niko upande wa haki,+

      Lakini Mungu ameigeuza hukumu yangu.+

  • Ayubu 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Je, haya ndiyo umeyaona kuwa haki?

      Wewe umesema, ‘Uadilifu wangu unazidi wa Mungu.’+

  • Methali 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+

  • Ezekieli 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nao wana wa watu wako wamesema, ‘Njia ya Yehova si sawa,’+ lakini, wao, njia yao ndiyo ambayo si sawa.

  • Malaki 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Ninyi mmemchosha Yehova kwa maneno yenu,+ nanyi mmesema, ‘Tumemchosha kwa njia gani?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayefanya mabaya ni mwema machoni pa Yehova, naye amependezwa na watu wa aina hiyo’;+ au, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’ ”+

  • Waroma 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi, Ee mwanadamu,+ kwa kweli wewe ni nani ndipo uthubutu kumjibu Mungu?+ Je, kitu kilichofinyangwa kitamwambia yeye aliyekifinyanga, “Kwa nini ulinifanya mimi hivi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki