Ayubu 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ijapokuwa unajua kwamba mimi sina kosa,+Na hakuna yeyote anayekomboa kutoka mkononi mwako?+ Ayubu 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ijapokuwa hakuna jeuri mikononi mwangu,Na sala yangu ni safi.+ Ayubu 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Ayubu amesema, ‘Hakika mimi niko upande wa haki,+Lakini Mungu ameigeuza hukumu yangu.+