Ayubu 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+ Ayubu 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+ Zaburi 92:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+ Waroma 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+
10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+
8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+
15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+
4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+