Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+

      Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+

      Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+

  • Ayubu 40:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?

      Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+

  • Zaburi 92:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+

      Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+

  • Waroma 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki