Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu.+ Hukuishika amri+ ya Yehova Mungu wako ambayo alikuamuru,+ kwa sababu, kama ungeishika, Yehova angeufanya ufalme wako juu ya Israeli kuwa imara mpaka wakati usio na kipimo.

  • 1 Wafalme 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Sasa akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umemwachilia kutoka mkononi mwako mtu niliyetengewa kwa ajili ya maangamizi,+ lazima nafsi+ yako ichukue mahali pa nafsi yake, na watu wako mahali pa watu wake.’”+

  • Methali 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Atakufa yeye mwenyewe kwa sababu hakuna nidhamu,+ na kwa sababu ya upumbavu wake mwingi yeye hupotea.+

  • Matendo 13:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Wayahudi walipoona umati, walijawa na wivu+ na kuanza kuyapinga kwa kukufuru mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki