Zaburi 81:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+ Methali 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+ 2 Petro 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+
3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+
15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+