Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na ikawa kwamba baadaye Ben-hadadi mfalme wa Siria akakusanya kambi yake yote, akapanda na kulizingira+ Samaria.

  • 2 Wafalme 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Hazaeli akasema: “Kwa nini bwana wangu analia?” Naye akasema: “Kwa sababu ninajua vema mabaya+ utakayowatendea wana wa Israeli. Utateketeza kwa moto mahali pao penye ngome, na wanaume wao walio bora utawaua kwa upanga, na watoto wao utawavunja vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba utawapasua.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana.+ Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki