12 Hazaeli akamuuliza: “Bwana wangu, kwa nini unalia?” Akamjibu: “Kwa sababu ninajua madhara utakayowatendea Waisraeli.+ Utateketeza ngome zao, utawaua kwa upanga wanaume wao mashujaa, utawapondaponda watoto wao, na kuwapasua tumbo wanawake wao wenye mimba.”+