17 Ndipo ikawa kwamba Hazaeli+ mfalme wa Siria akapanda kwenda kupigana na Gathi,+ akaliteka, kisha Hazaeli akaelekeza uso+ wake apande kwenda juu ya Yerusalemu.+
3 Na hasira+ ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, hivi kwamba akawatia mkononi mwa Hazaeli+ mfalme wa Siria na mkononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.
3 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Damasko,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamepura Gileadi+ kwa vifaa vya kupuria vya chuma.