Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli,

  • 2 Wafalme 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo ikawa kwamba Hazaeli+ mfalme wa Siria akapanda kwenda kupigana na Gathi,+ akaliteka, kisha Hazaeli akaelekeza uso+ wake apande kwenda juu ya Yerusalemu.+

  • 2 Wafalme 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na hasira+ ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, hivi kwamba akawatia mkononi mwa Hazaeli+ mfalme wa Siria na mkononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.

  • Amosi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Damasko,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamepura Gileadi+ kwa vifaa vya kupuria vya chuma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki