17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+
15 (kwa maana Yehova Mungu wako aliye katikati yako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,)+ hasira ya Yehova isije ikawaka juu yako,+ naye akuangamize kutoka katika uso wa nchi.+
4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+