Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi sasa, niache, ili hasira yangu iwake juu yao nami niwaangamize,+ nami nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+

  • Hesabu 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+

  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki