17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+