1 Wafalme 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria. 2 Wafalme 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Hazaeli akasema: “Mtumishi wako ni nani, ambaye ni mbwa+ tu, ndipo aweze kufanya jambo hili kuu?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha wewe kuwa mfalme juu ya Siria.”+ 2 Wafalme 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli, Amosi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitapeleka moto+ juu ya nyumba ya Hazaeli,+ nao utaiteketeza minara ya makao ya Ben-hadadi.+
15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria.
13 Basi Hazaeli akasema: “Mtumishi wako ni nani, ambaye ni mbwa+ tu, ndipo aweze kufanya jambo hili kuu?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha wewe kuwa mfalme juu ya Siria.”+
32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli,