Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria.

  • 2 Wafalme 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Hazaeli akasema: “Mtumishi wako ni nani, ambaye ni mbwa+ tu, ndipo aweze kufanya jambo hili kuu?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha wewe kuwa mfalme juu ya Siria.”+

  • 2 Wafalme 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli,

  • Amosi 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitapeleka moto+ juu ya nyumba ya Hazaeli,+ nao utaiteketeza minara ya makao ya Ben-hadadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki