1 Wafalme 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria. 2 Wafalme 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo mfalme akamwambia Hazaeli:+ “Chukua zawadi+ mkononi mwako, nenda umpokee yule mtu wa Mungu wa kweli, nawe uulize+ Yehova kupitia kwake, na kusema, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”
15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria.
8 Kwa hiyo mfalme akamwambia Hazaeli:+ “Chukua zawadi+ mkononi mwako, nenda umpokee yule mtu wa Mungu wa kweli, nawe uulize+ Yehova kupitia kwake, na kusema, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”