Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na wale wana ndani yake wakaanza kupambana,+ hivi kwamba akasema: “Ikiwa hivi ndivyo ilivyo, hasa kwa nini niko hai?” Basi akaenda kumuuliza Yehova.+

  • 1 Wafalme 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Yeroboamu akamwambia mke wake: “Tafadhali, ondoka, ujibadili sura,+ ili wasijue kuwa wewe ni mke wa Yeroboamu, uende Shilo. Tazama! Huko ndiko aliko Ahiya+ nabii. Yeye ndiye aliyesema kunihusu mimi habari za kuwa mfalme juu ya watu hawa.+

  • 2 Wafalme 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehoshafati akasema:+ “Je, hakuna nabii wa Yehova hapa?+ Basi na tumuulize Yehova kupitia yeye.”+ Na mmoja wa watumishi wa mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Pana Elisha+ mwana wa Shafati, aliyemimina maji juu ya mikono ya Eliya.”+

  • 2 Wafalme 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nendeni, muulizeni+ Yehova kwa ajili yangu na kwa ajili ya watu na kwa ajili ya Yuda wote kuhusu maneno ya kitabu hiki ambacho kimepatikana; kwa maana ghadhabu ya Yehova+ ni kubwa ambayo imewashwa juu yetu kwa sababu mababu+ zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki kwa kutenda kulingana na yote ambayo yameandikwa kutuhusu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki