Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo Sauli akajibadili sura+ na kuvaa mavazi mengine, akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye; nao wakafika kwa yule mwanamke usiku.+ Sasa akasema: “Tafadhali, nifanyie uaguzi+ kwa kuwasiliana na pepo, unipandishie yule nitakayemtaja kwako.”

  • 2 Samweli 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Yoabu akatuma ujumbe huko Tekoa,+ na kutoka huko akamchukua mwanamke mwenye hekima+ na kumwambia: “Tafadhali, omboleza, nawe tafadhali uvae mavazi ya maombolezo, na usijipake mafuta;+ nawe uwe kama mwanamke ambaye amekuwa akiomboleza siku nyingi kwa ajili ya mtu aliyekufa.+

  • 1 Wafalme 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura na kuingia vitani,+ lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura,+ akaingia vitani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki