Mhubiri 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika kila pindi, mavazi yako na yawe meupe,+ wala kichwa chako kisikose mafuta.+ Danieli 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikula mkate mtamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, nami sikujipaka mafuta kwa vyovyote mpaka kumalizika kwa yale majuma matatu kamili.+
3 Sikula mkate mtamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, nami sikujipaka mafuta kwa vyovyote mpaka kumalizika kwa yale majuma matatu kamili.+