2 Kwa hiyo Yoabu akatuma ujumbe huko Tekoa,+ na kutoka huko akamchukua mwanamke mwenye hekima+ na kumwambia: “Tafadhali, omboleza, nawe tafadhali uvae mavazi ya maombolezo, na usijipake mafuta;+ nawe uwe kama mwanamke ambaye amekuwa akiomboleza siku nyingi kwa ajili ya mtu aliyekufa.+