Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi akajenga upya Bethlehemu+ na Etamu+ na Tekoa,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda katika nyika+ ya Tekoa.+ Na walipokuwa wakienda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Nisikieni, enyi Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu!+ Iweni na imani+ katika Yehova Mungu wenu, ili mdumu muda mrefu. Iweni na imani katika manabii wake,+ hivyo mfanikiwe.”

  • Nehemia 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Watekoa+ wakafanya kazi ya kurekebisha kando yao; lakini watu wao walio mashuhuri+ hawakutia shingo zao katika utumishi wa mabwana zao.

  • Amosi 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maneno ya Amosi, aliyekuwa kati ya wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ ambayo aliona katika maono kuhusu Israeli+ katika siku za Uzia+ mfalme wa Yuda na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya lile tetemeko la nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki