-
2 Mambo ya Nyakati 20:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kesho yake, wakaamka asubuhi na mapema na kwenda katika nyika ya Tekoa.+ Walipokuwa wakienda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Nisikilizeni, enyi watu wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu! Iweni na imani katika Yehova Mungu wenu ili mweze kusimama imara.* Iweni na imani katika manabii wake,+ nanyi mtafanikiwa.”
-