Waamuzi 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’ Luka 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule ambaye hayuko upande wangu ananipinga, na yule ambaye hakusanyi pamoja nami anatawanya.+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+
23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’
17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+