2 Kwa hiyo Yoabu akatuma watu huko Tekoa+ wamlete mwanamke mwerevu, akamwambia hivi: “Tafadhali, jifanye kana kwamba unaomboleza, nawe uvae nguo za kuomboleza, na usijipake mafuta.+ Jifanye kama mwanamke ambaye amekuwa akiomboleza kwa siku nyingi kwa sababu ya kufiwa.