Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 11:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Rehoboamu aliishi Yerusalemu na kujenga majiji yenye ngome huko Yuda.⁠ 6 Basi akajenga* Bethlehemu,+ Etamu, Tekoa,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kesho yake, wakaamka asubuhi na mapema na kwenda katika nyika ya Tekoa.+ Walipokuwa wakienda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Nisikilizeni, enyi watu wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu! Iweni na imani katika Yehova Mungu wenu ili mweze kusimama imara.* Iweni na imani katika manabii wake,+ nanyi mtafanikiwa.”

  • Amosi 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maneno ya Amosi,* aliyekuwa mmoja wa wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ aliyoyapokea katika maono kuhusu Israeli katika siku za utawala wa Mfalme Uzia+ wa Yuda na katika siku za utawala wa Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki