1 Samweli 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Sauli akaficha sura yake, akavaa mavazi mengine na kwenda kwa mwanamke huyo usiku akiwa na wanaume wake wawili. Akasema: “Tafadhali, nifanyie uaguzi* kwa kuwasiliana na roho,+ nipandishie yule nitakayekutajia.”
8 Kwa hiyo Sauli akaficha sura yake, akavaa mavazi mengine na kwenda kwa mwanamke huyo usiku akiwa na wanaume wake wawili. Akasema: “Tafadhali, nifanyie uaguzi* kwa kuwasiliana na roho,+ nipandishie yule nitakayekutajia.”