Zaburi 50:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+ Isaya 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+ Yeremia 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+
21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+
9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+
17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+