Hesabu 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+ Zaburi 73:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wamesema: “Mungu amepataje kujua?+Na je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi?”+ Zaburi 94:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wanaendelea kusema: “Yah haoni;+Na Mungu wa Yakobo haelewi hilo.”+ Mhubiri 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+
19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+
12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+