Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • Zaburi 73:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wamesema: “Mungu amepataje kujua?+

      Na je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi?”+

  • Zaburi 94:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nao wanaendelea kusema: “Yah haoni;+

      Na Mungu wa Yakobo haelewi hilo.”+

  • Mhubiri 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki